Marekebisho ya 27 ya Katiba ni ya Kuimarisha Utawala wa Trump nchini Pakistan na Utawala wa Sharia pekee ndio unaoweza kufunga mlango wa uingiliaji wa kigeni kabisa
Habari:
Habari:
Habari:
AlhamduliLlah, Mola Mlezi wa walimwengu, na sala na salamu zimwendee imamu wa wamchao Mungu, na bwana wa mitume, aliyetumwa kuwa rehema kwa walimwengu, Bwana wetu Muhammad na ahli zake na masahaba zake wote, na tujaalie tuwe pamoja nao, na utukusanye katika kundi lao kwa rehema yako, Ewe Mwenye kurehemu kuliko wote wenye kurehemu.
Kwamba Waislamu wanapokosa kiongozi mkuu (Khalifa) wanapaswa kushughulika na kumpa ahadi ya utiifu Khalifa anayefuata, na wakamilishe hilo ndani ya siku tatu. Ama ikiwa hawashughuliki na kumpa ahadi ya utiifu Khalifa, bali Ukhalifa ukamalizwa na wao wakakaa kimya, basi wao ni wenye dhambi tangu kumalizwa kwake na kukaa kwao kimya.
Fahamu kwamba maisha yako yanafuata mawazo yako, ikiwa mawazo yako ni katika yale yanayokurudisha na manufaa katika dini au dunia basi maisha yako ni mazuri yenye furaha. Na ikiwa sivyo, basi kinyume chake ndio hukumu. Njia Muhimu kwa Maisha ya Furaha. Na Ibn Saadi
Vikosi vya msaada wa haraka vilishambulia mji wa Babnusa siku ya Jumapili iliyopita, na kurudia shambulio lao asubuhi ya Jumanne.
Katika mkutano uliomjumuisha Abbas na Macron huko Paris siku ya Jumanne 2025/11/11, ambapo alitangaza "kuundwa kwa kamati ya pamoja kati ya Ufaransa na Palestina kuandaa katiba ya Dola ya Palestina" (Al Jazeera Mubasher), Abbas anachochewa na historia ya nchi zilizoundwa katika eneo hilo, ambazo zimechukua katiba za Magharibi kama msingi wa sheria, na wamechukua
Televisheni ya Al-Waqiyah: Alisema Mpenzi ﷺ "Sema nimemwamini Mwenyezi Mungu, kisha uwe na msimamo"
Kamati ya Usalama wa Kitaifa ya Kyrgyzstan iliandaa maandamano ya kificho dhidi ya kampeni ya Da'wah katika jimbo la Batken, na ilitangaza kukamatwa kwa Waislamu 12 kwa tuhuma za "itikadi kali", ikiwatuhumu kwa "kuanzisha na kufadhili shirika kali."
Kuanzia mwaka wa masomo wa sasa 2025-2026, taasisi zote za elimu nchini Ufaransa zimeanza kutekeleza mtaala mpya wa shule wa elimu kuhusu maisha ya kihisia, mahusiano na jinsia! Kutokana na mradi huo kujumuisha juhudi za dhati na za haraka za kupanda dhana za kimagharibi ambazo zinapingana kabisa na dhana za Kiislamu kwa watoto tangu wakiwa wachanga na kwa vijana, changamoto kwa Waislamu nchini Ufaransa zimekuwa ngumu zaidi na jukumu lao ni gumu zaidi katika kuwalinda watoto wao na kuwakinga na uchafu wa Magharibi.