Jarida la Ar-Raya: Jibu la Swali la Sudan Baada ya Vikosi vya Msaada wa Haraka Kudhibiti Al-Fashir
(Musaad Boulos, mshauri mkuu wa Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu masuala ya Mashariki ya Kati, alisisitiza kuwa jeshi la Sudan na vikosi vya Msaada wa Haraka vimekubaliana na usitishaji mapigano wa miezi mitatu, kwa kuzingatia mpango wa Kundi la Nne, ambalo linajumuisha Imarati, Marekani, Saudi Arabia na Misri, na ulio tangazwa tarehe kumi na mbili Septemba iliyopita... Sky News Arabia, 2025/11/3), na makubaliano haya juu ya mpango wa Marekani kutoka kwa pande za Sudan, utawala na Msaada wa Haraka, yametokea baada ya Msaada wa Haraka kudhibiti mji wa Al-Fashir nchini Sudan...